![hosp 1](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/09/hosp-1.png?resize=427%2C240)
Kituo cha Radio Jambo kimeripoti kwamba muuguzi huyu Jackson Tali mwenye umri wa miaka 41 amehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia ya kusababisha kifo cha msichana aliyetafuta huduma za ujauzito wake kwa muuguzi huyu.
Jackson anadaiwa kutenda kosa hilo July 27 2009 huko Kyambuu.
Post a Comment