Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BALOZI WA RWANDA NCHINI AKUTANA NA KINANA


Balozi wa Rwanda nchini Eugene S. Kayihura akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana mara baada ya kuwasili kwenye ofisi za CCM Makao Makuu Ofisi Ndogo Lumumba jijini Dar es salaam.

Balozi wa Rwanda nchini Eugene S. Kayihura akisaini kitabu cha wageni kwenye ofisi za CCM Ofisi Ndogo Lumumba ambapo alikuwa na maongezi na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Eugene S. Kayihura .Balozi wa Rwanda nchini Tanzania amekutana na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenye Ofisi Ndogo za CCM Lumumba akiongozana na Msaidizi wa Balozi Ndugu Ernest Bugingo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top