Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SIMU TV: HABARI ZA USIKU HUU


 

Polisi Mara yapiga marufuku kuendesha kampeni sehemu za starehe huku vikundi vya ulinzi vya vyama vikipigwa marufuku
Maambukizi ya malaria yaelezwa kupungua katika mwaka 2014,jambo linalofanikisha adhima ya serikali katik kupambana na ugonjwa huo. http://youtu.be/NVrEF7CCawA  

Dr Magufuli Awaga ahaidi kuongeza huduma za uhakika katika sekta ya maji na umeme   kwa wananchi wa Ludewa waliojitokeza kwa wingi kumlaki.
Mgombea wa urais kupitia TLP kimezindua kampeni zake leo Mkoani Kilimanjaro huku akiahidi kuelekeza nguvu kwenye uwekeza.
Mgombea uraisi kupitia ACT Wazalendo amesema kuwa serikali yake itatekeleza vipaumbele mbalimbali ikiwemo kuporesha kilimo,elimu na afya;http://youtu.be/c3HNBkGFCf8 
Mgombea mwenza Samia Suluhu aeleza kuwa cham chake kitawapa vijana mitaji ili kusuluhisha tatizo la ajira nchini kama ilivyobainishwa kwenye ilani ya CCM
waanza ujenzi wa nyumba za wakazi 342 walioathirika na mvua za mawe mapema mwaka huu Mkoani Shinyanga; http://youtu.be/4RyOArAmS8Y 
Baada ya kuchaguliwa kuwa kaimu katibu mkuu wa soka la wanawake nchi bi.Somoe Ngi’tu ameahidi kuendeleza soka hilo kwa kuweka michezo ya ligi;http://youtu.be/EjgvC6D13M4
Jeshi la polisi mkoani Kagera laeza Takwimu za za ajali barabarani kupungua ndani ya miezi 8 iliyopita ndani ya mkoa huo
Mgombea Uraisi UKAWA Mhe. Lowassa atinga mkoani Iringa Akibeba sera ya kuimarisha kilimo bora chenye tija kwa wakulima
Wananchi waendelea kulalamikia mfumo mibaya ya masoko na bei duni za mazao jambo linalokwamisha maendeleo ya kilimo.http://youtu.be/7X3aXP7xp2g
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top