Kiongozi
wa kanisa la katoliki duniani Papa Francis muda mfupi baada ya kuwasili
katika uwanja wa ndege wa JKIA nchini Kenya jioni hii
Rais Uhuru Kenyatta akisalimiana na kumpokea Kiongozi wa kanisa la
katoliki duniani Papa Francis muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja
wa ndege wa JKIA nchini Kenya jioni hii
Post a Comment