Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII YAKUTANA NA UJUMBE WA BIASHARA NA UWEKEZAJI WA HUDUMA ZA AFYA KUTOKA NCHINI NETHERLAND

Kaimu mgaga mkuu wa serikali Dkt. Donan Mmbando akizungumza na ujumbe wa Biashara na Uwekezaji katika huduma za afya kutoka nchini Netherland mara baada ya ujumbe huo kuwasili makao makuu ya Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii jana jijini Dar es Salaam.
Kamishina wa Idara ya Ustawi wa Jamii wa Wizara ya Afya Bw. Danford Makala (kulia) akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali kuhusu Ustawi wa jamii wakati wa mkutano kati ya Ujumbe wa Biashara na Uwekezaji katika huduma za afya kutoka nchini Netherland na watendaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii jana jijini Dar es salaam.
Meneja Mkuu na mmiliki wa Hospitali zinazojengwa kwa kutumia makontena (Hospitainer) na kuweza kupelekwa kutoa huduma za afya maeneo yoyote kutoka nchini Netherland Bw. Rolof Mulder akiongea na watendaji wa wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuelezea namna kampuni hiyo inavyofanya kazi zake.
Baadhi ya viongozi wa ujumbe wa Biashara na Uwekezaji katika huduma za afya kutoka nchini Netherland wakifuatilia fafanuzi mbalimbali zilizokuwa zikitolewa na watendaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii jana jijini Dar es salaam.
Watendaji wakuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa Biashara na Uwekezaji katika huduma za afya kutoka nchini Netherland
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top