Hivi Ndivyo wananchi wanavyo Choma mataili muda huu eneo la uwanja wa
Kilombero ambao uliuzwa kinyemela na sasa wananchi wamerudisha na
kulifanya soko.
Hapa Wakati wanachoma Mbao pamoja na Mataili wananchi wengine wanabomoa bomoa uzio
Muda mchache sasa Fire wamesha fika kwa ajili ya kuzima moto, wakati huo
vurugu ndio zinanukia kuanza huku. Wananchi wa Arusha warejesha Kiwanja
chao cha wazi kilicho kuwa kimeuzwa na kuweka soko
Umati wa watu wakiwa wanaandamana kuvunja uzio na kuweka soko mikononi mwao
Mji umevurugika. Kiukweli hali si shwari kabisa
Polisi wakiwa eneo la tukio wakilinda amani na usalama wa raia huku wakiwasihii sana Wananchi kutawanyika eneo la tukio.
Eneo la tukio limezungukwa na matatu na yote yamejaa FFU kwa ajili ya kulinda usalama wa wananchi.
on Thursday, September 27, 2012
Post a Comment