Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

UMOJA WA ULAYA YAAMUA KUWANYIMIA MISAADA RWANDA


Muungano wa Ulaya (EU) umeamua kusitisha misaada kwa Rwanda, uamuzi huo umefikiwa kufuatia ripoti ya baraza la usalama la Umoja huo iliyodai kwamba Rwanda inaunga mkono waasi wa M23 dhidi ya serikali ya Congo.
Waasi hao wanadhibiti kimabavu sehemu kubwa ya Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Pamoja na Rwanda kuendelea kukana madai hayo, mwezi Julai Marekani pia ilizuia dola 200,000 zilizokusudiwa kulisaidia jeshi la Rwanda.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top