KATIKA kile
kilichoonekana kama wasanii wa Bongo Movies wana ‘aleji’ na kujisitiri miili
yao, baada ya Wema Sepetu na Aunt Ezekiel, safari hii Zuwena Mohamed ‘Shilole’
ameanika sehemu zake za siri kweupe.
Shilole ambaye kwa sasa amegeukia
muziki wa mduara, akiwa jukwaani huku akionekana hana habari kabisa na kitu
kinachoitwa staha achilia mbali heshima.
Chanzo chetu cha habari kwa sharti la
kutotajwa jina lake, kilinyetisha kwamba, Shilole amekuwa na kawaida ya
kujiachia kihasarahasara hasa anapokuwa kwenye shoo na bendi
yake.
on Wednesday, October 24, 2012



Post a Comment