Kilimanjaro Stars
imeyaanza kwa kishindo mashindano ya CECAFA Senior Challenge baada ya kuwachapa
Mamba wa Nile, Sudan kwa mabao mawili kwa bila. Alikuwa ni mshambuliaji John
Bocco Adebayor aliefunga mabao yote m
awili
baada ya kazi nzuri ya Mrisho Ngassa. Kwa matokeo hayo Stars sasa inashikilia
nafasi ya pili kwenye kundi B huku Burundi ikiongoza kwa tofauti ya magoli baada
ya kuichapa Somalia 5-1 katika mchezo wa kwanza
Tanzania Bara; Juma Kaseja, Erasto Nyoni, Amir Maftah, Shomari
Kapombe, Kevin Yondan, Frank Domayo, Salum Abubakar/Amri Kiemba, John Bocco,
Mwinyi Kazimoto na Simon Msuva/Shaaban Nditi.
Sudan; Ebd Elrahman Ali, Moawia El Amin, Sami Abdallah, Faris
Abdallah, Hamoda Bashir/Farid Mohamed, Mohamed El Mortada, Sadam Abutalib,
Mohamed Mussa Idris, Modathir Mohamed, Adam Sayer/Osama El Rashid na Mohamed
Osman/Saed Siddig.
Kilimanjaro Stars
imeyaanza kwa kishindo mashindano ya CECAFA Senior Challenge baada ya kuwachapa
Mamba wa Nile, Sudan kwa mabao mawili kwa bila. Alikuwa ni mshambuliaji John
Bocco Adebayor aliefunga mabao yote m
awili
baada ya kazi nzuri ya Mrisho Ngassa. Kwa matokeo hayo Stars sasa inashikilia
nafasi ya pili kwenye kundi B huku Burundi ikiongoza kwa tofauti ya magoli baada
ya kuichapa Somalia 5-1 katika mchezo wa kwanza
Tanzania Bara; Juma Kaseja, Erasto Nyoni, Amir Maftah, Shomari Kapombe, Kevin Yondan, Frank Domayo, Salum Abubakar/Amri Kiemba, John Bocco, Mwinyi Kazimoto na Simon Msuva/Shaaban Nditi.
Tanzania Bara; Juma Kaseja, Erasto Nyoni, Amir Maftah, Shomari Kapombe, Kevin Yondan, Frank Domayo, Salum Abubakar/Amri Kiemba, John Bocco, Mwinyi Kazimoto na Simon Msuva/Shaaban Nditi.
Sudan; Ebd Elrahman Ali, Moawia El Amin, Sami Abdallah, Faris
Abdallah, Hamoda Bashir/Farid Mohamed, Mohamed El Mortada, Sadam Abutalib,
Mohamed Mussa Idris, Modathir Mohamed, Adam Sayer/Osama El Rashid na Mohamed
Osman/Saed Siddig.
Post a Comment