Kwa maelekezo ya ITU
kwamba huduma za televisheni za utangazaji kubadili kutoka Analojia na kwenda
katika mfumo wa digitali kabla ya Juni 17, 2015, lakini kwa nchi ya Tanzania
tarehe ya mwisho ya kubadili mfumo ni Desemba 31, 2012.
Ili kuwa na uwezo wa
kutekeleza mabadiliko haya katika wakati, Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)
imeunda kampuni ya Ubia na kampuni ya Star Communication Network Technology
Co. LTD ya China, inayojulikana kama Star Media (Tanzania) LTD inayotumia jina
la kibiashara la STARTIMES. wajibu wa Kampuni hii ya Ubia na ya kisasa, ni
kuleta mapinduzi katika huduma za televisheni na utangazaji kwa njia ya
digitali na kutoa huduma za multiplex katika Tanzania. STARTIMES tayari
imeshabadili na kuingiza katika mifumo ya digitali mikoa saba katika Tanzania
Bara yaani Mwanza, Mbeya, Dodoma, Arusha, Moshi, Tanga na Dar es salaam.
Kufikia mwisho wa mwaka huu,kabla ya kubadili rasmi mfumo mkoa wa Morogoro pia
utaunganishwa katika mfumo wa digitali kama miko tajwa.
Inatarajia pia kujenga
Kituo cha kurushia cha kisasa katika eneo la Makongo kilimani ili kuboresha
signal/urushwaji wa matangazo yetu katika Mkoa wa Dar es Salaam na baadhi ya
maeneo ya Mikoa ya Pwani.
Kampuni
ya Star Time vile vile inakusudia kubadili Zanzibar na tayari tumepata leseni
kwa ajili ya kujenga kituo cha televisheni na kupeleka huduma za mfumo wa
digitali kabla ya tarehe ya kubadili (Switch –off) kama kila kitu kitakwenda
kulingana na mipango yetu. Hata hivyo, mpango wetu ni kwamba Tanzania nzima
lazima kubadilishwa kwenda kwenye mfumo wa digitali mapema iwezekanavyo ili
kila Mtanzania anaweza kufurahi ulimwengu wa digitali.
Kwa miezi miwili iliyopita STARTIMES ilikua katika maadhimisho ya uzinduzi wa huduma za matangazo ya digitali Tanzania. Wakati wa maadhimisho haya STARTIMES imepunguza bei ya kawaida ya kuuza ving’amuzi vyake kwa 44%, yaani kutoka shilingi 70,000 / = hadi shilingi 39,000 / =. STARTIMES ilipanga kufikia kilele cha maadhimisho haya mnamo Oktoba 15, 2012. Hata hivyo, kutokana na kutangazwa na serikali kwamba Tanzania lazima kubadili mfumo wake kwenda digitali kufikia mwisho wa mwaka huu, STARTIMES imeamua kuendelea kuuza ving’amuzi vyake kwa bei zilizotajwa hapo juu kwenda na maono yetu ambayo ni, kuwezesha kila nyumba kuwa na upatikanaji wa digitali na kumudu kumiliki luninga ya digitali; kuangalia matangazo ya digitali na kufurahia ulimwengu wa digitali.
Kwa miezi miwili iliyopita STARTIMES ilikua katika maadhimisho ya uzinduzi wa huduma za matangazo ya digitali Tanzania. Wakati wa maadhimisho haya STARTIMES imepunguza bei ya kawaida ya kuuza ving’amuzi vyake kwa 44%, yaani kutoka shilingi 70,000 / = hadi shilingi 39,000 / =. STARTIMES ilipanga kufikia kilele cha maadhimisho haya mnamo Oktoba 15, 2012. Hata hivyo, kutokana na kutangazwa na serikali kwamba Tanzania lazima kubadili mfumo wake kwenda digitali kufikia mwisho wa mwaka huu, STARTIMES imeamua kuendelea kuuza ving’amuzi vyake kwa bei zilizotajwa hapo juu kwenda na maono yetu ambayo ni, kuwezesha kila nyumba kuwa na upatikanaji wa digitali na kumudu kumiliki luninga ya digitali; kuangalia matangazo ya digitali na kufurahia ulimwengu wa digitali.
Katika juhudi hizo za
kufanya Watanzania kufurahia michezo duniani kote, STARTIMES sasa inaonyesha
michezo inayopedwa zaidi katika mechi za mpira za Ligi Ulaya kwa kupitia DTV.
STARTIMES sasa iko katika maadalizi y kwa ajili ya Sikukuu za Krismasi ambapo
nia ya kuja na mambo mkubwa kwa ajili ya digital televisheni za 21 “CRT, 24
LCD, 32 LCD na 42 LED na zawadi zaidi kwa wateja wote ambao tayari wanatumia
huduma zetu na wateja wapya pia. Kwa habari zaidi tembelea maduka yetu na Ofisi
za StarTimes na kwa Mawakala wetu.


Post a Comment