Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AKAGUA JENGO LA CHUO CHA MAFUNZO YA UDAKTARI.

 

Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dr. Malik Abdulla Juma akimuonyesha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi eneo la Paa la Jengo la Wataalamu na Madaktari Bingwa wa Cuba liliopo mkabala na Bustani ya Victoria Mnazi Mmoja ambalo linahitaji kufanyiwa matengenezo.
Kushoto ni baadhi ya Madaktari wakiongozwa na Mkuu wa Chuo cha mafunzo ya Udaktari wa Afya kinachosimamiwa na Wataalamu wa Cuba Dr. Rebeca Lahera Cambara. Balozi Seif alifanya ziara hiyo fupi kwa lengo la kuangalia mazingira wanayoishi wataalamu hao na namna ya kutafuta mbinu za kuyaimarisha zaidi ili kuleta utulivu kwa wakaazi hao.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top