Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mkutano Wa SADC Waanza Leo

 


Rais Jakaya mrisho kikwete, Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini na Rais Hifikepunye Pohamba wa Namibia pamoja na Katibu Mkuu wa SADC Dr.Tomaz Salomao. na Mawaziri wa nchi hizo wakipitia rasimu ya muhtasari wa kikao kabla ya kuanza kwa kikao cha dharura cha Jumuiya hiyo katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo.
Rais Jakaya mrisho kikwete, akikaribisha viongozi wenzie wa nchi za SADC katika kikao cha dharura cha Jumuiya hiyo katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo.

JK (Kulia) na Katibu wa SADC Tomaz Salomao wakiteta kk Mkutano leo
Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini (kush) pamoja na Katibu wa SADC Tomaz Salomao wakielekea katk ukumbi wa mkutano jijini Dar
Rais wa Tanzania Dr, Jakaya Kikwete(kushoto) akiongea na ujumbe wa Tanzania.
JK (katikati)akiongea na Rais wa Msumbiji Armando Guebuza(kushoto) na (kulia) Rais wa Namibia Hifikepunye Pohamba
Picha ya pamoja (JK) akiwa katikati pamojawakuu wa nchi na MARAIS wa nchi za SADC
kwenye ufunguzi wa mkutano wa SADC unaofanyika jijini Dar es salaam Dec 8, 2012. Picha zote na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top