Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TAARIFA YA UZUSHI WA KIFO CHA JUSTIN BEIBER


 

Leo masaa kadhaa yaliyopita kumekuwa na tetesi kwamba msanii wa muziki kutoka nchini Canada anayefanya vema katika anga ya muziki nchini marekani Justine Beiber kuwa ameaga dunia.Watu wengi wamekuwa wakipost facebook na baadhi ya mitandao mengine ya kijamii kuhusu habari hiyo lakini wamekuwa hawana uhakika na wanachokiongea kutokana na kukosa link ambayo inaonesha ukweli kuhusu kifo cha bieber.
baada ya kuperuzi huku na huko ili kudhibitisha ukweli wa kifo hicho, kwenye mtandao ulioandika kuhusu kifo cha Justine Beiber ni http://justin.bieber.swellserver.com/news/top_stories/auto80.php
..ambapo wamesema kuwa Justine beiber amekufa katika ajali ya gari huko Morristown.
lakini ukifatilia zaidi inaonyesha kuwa huo ni mtandao unao deal na celebrity fake news
na dakika kadhaa zilizopita Justine Beiber ametweet katika mtandao wa ''twitter'' kitu kinachodhihirisha ya kuwa yupo hai na hizi nitweet ambazo Beiber ametweet muda mfupi uliopita
Download Our App

1 comments:

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top