Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Redds Miss Tanzania 2012 akikabidhiwa gari lake

 

 
 
KATIBU MKUU WA KAMATI YA MISS TANZANIA BOSCO MAJALIWA AKIONGEA MACHACHE KABLA YA KUKABIDHI GARI
KATIBU MKUU WA KAMATI YA MISS TANZANIA BOSCO MAJALIWA AKIKABIDHI GARI

REDDS MISS TZ 2012 AKIFURAHI BAADA YA KUKABIDHIWA GARI LAKE NA KATIBU MKUU KAMATI YA MISS TANZANIA

REDDS MISS TZ 2012 AKIPITIA NYARAKA ZA GARI LAKE BAADA YA KUKABIDHIWA NA KATIBU MKUU WA KAMATI YA MISS TANZANIA BOSCO MAJALIWA.
 
Brigitte Alfred, Redds Miss Tanzania 2012 akikabidhiwa zawadi ya gari yake jana  tarehe 10 Desemba 2012 na Katibu Mkuu wa Kamati ya Miss Tanzania, bw. Bosco Majaliwa. katika ofisi ya Lino International Agency Limited zilizopo Mikocheni jijini D'salaam.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top