Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SAFARI YA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO ILIVYOKUWA SIKU YA KWANZA


 

Mkuu wa Majeshi Mstaafu,Balozi Mirisho Sarakikya (wa pili kushoto) akikabidhi bendera ya taifa kwa Mkuu wa Majeshi Mstaafu,Jenerali George Waitara (katikati) ambaye ni kiongozi wa Upandaji wa Mlima Kilimanjaro muda mfupi kabla ya kuanza kwa zoezi hilo.
Kiongozi wa safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro,Mkuu wa Majeshi Mstaafu,Jenerali George Waitara (aliesimama) akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwaaga iliyofanyika lango la Marangu.Kulia ni Mkuu wa Majeshi Mstaafu,Balozi Mirisho Sarakikya.
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Mazingira,Mh James Lembeli akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa ni mkuu wa majeshi wa kwanza Tanzania (jenelari mstaafu) Balozi Mirisho Sarakikya akisisitiza jambo wakati wa hafla ya kuwaaga viongozi waliokuwa wakipanda mlima Kilimanjaro hivi karibuni.
Vifaa vya wapandaji vikiwa tayari.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top