Amiri Jeshi Mkuu wa
Vikosi vya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wananchi wakati
wa maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa Tanganyika katika Uwanja wa
Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
Ngoma ya kitamaduni kutoka Zanzibar.
Ngoma ya kitamaduni kutoka Rwanda
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakipita
kwa mwendo wa haraka mbele ya Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama,
Rais Jakaya Kikwete wakati wa maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa
Tanganyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
Askari wa Kikosi cha majini akitolewa nje ya
viwanja kwa ajili ya kupatiwa huduma ya kwanza baada ya kuishiwa nguvu
Kikundi cha sanaa cha Taifa kutoka Rwanda
kikitumbuiza katika sherehe hizo
Wasanii wa kikundi cha Taifa kutoka Zanzibara
wakitumbuiza kwa ngooma ya kitamaduni kutoka Pemba.
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
wakipita kwa mwendo wa haraka mbele ya Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na
Usalama, Rais Jakaya Kikwete wakati wa maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya
Uhuru wa Tanganyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
Watoto wa alaiki wakiwa
katika gwaride la miaka 51 vya Uhuru wa Tanganyika zilizofanyika kwenye Uwanja
wa Uhuru jijini Dar es Salaam
Watoto, Gozibety Mbwele (3)
na Nyamburi Mganga (5) wa kikundi cha Utandawazoi kutoka Mwanza wakionesha
manjonjo yako wakati wa sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa Tanganyika zilizofanyika
kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam
leo.
Vijana wa alaiki
wakitengeneza maumbo ya vitabu.
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mama Maria
Nyerere wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru wa Tanganyika uliofanyika
kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
Post a Comment