Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

UFUNGUZI WA JENGO LA GHOROFA KWA AJILI YA MAKAZI YA ASKARI MAGEREZA MJINI IRINGA.

 


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akikata utepe akiashiria ufunguzi wa jengo la ghorofa kwa ajili ya makazi ya Askari Magereza mjini Iringa, huku mvua ikinyesha. Ufunguzi huo uliambatana na sherehe kubwa ambayo iliudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali pamoja na maofisa wa Jeshi la Magereza.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (aliye vaa kiraia kulia) akifunua kitambaa kuashiria ufunguzi wa jengo la ghorofa kwa ajili ya makazi ya Askari Magereza mjini Iringa. Kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini (CGP), John Minja.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top