Katibu wa NEC 
Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia maelfu ya wananchi waliofurika kweneye 
mkutano wa CCM uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza na mgeni 
rasmi akiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara ) Phili 
Mangula
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula na 
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrisoin Mwakyembe wakiwaaga wananchi, baada ya Mkutano 
mkubwa wa hadhara wa CCM uliofanyika leo kwenye uwanja wa Nyamagana jijini 
Mwanza 
 
 
  on Sunday, January 20, 2013
 
Post a Comment