Habari Njema: Sasa Unaweza kulipia tiketi yako ya ndege
kupitia Vodacom Tanzania M- Pesa.
Mfumo huu wa malipo Kutumia simu ya mkononi unarahisisha kufanya malipo ya tiketi yako kwa urahisi zaidi kuliko awali, Huitaji Akaunti ya benki . Unachotakiwa ni kutumia namba yako ya kumbukumbu uliyopata baada ya kufanya booking kwenye mtandao wetu na uitume kwenye akaunti namba ya fastjet; 900900.
Mfumo huu wa malipo Kutumia simu ya mkononi unarahisisha kufanya malipo ya tiketi yako kwa urahisi zaidi kuliko awali, Huitaji Akaunti ya benki . Unachotakiwa ni kutumia namba yako ya kumbukumbu uliyopata baada ya kufanya booking kwenye mtandao wetu na uitume kwenye akaunti namba ya fastjet; 900900.
Kwa maelezo zaidi tembelea; www.fastjet.com/tz/blog/kulipa-tiketi-za-ndege-kwa-kutumia-mpesa
Good news - we've made payments for fastjet flights faster!
You can now pay for fastjet flights using Vodacom Tanzania M-Pesa. No need for a
bank account or cash. Just use your unique booking number as a reference when
booking online and send to fastjet's business number 900900.
Find out more here: www.fastjet.com/tz/blog/introducing-mpesa-mobile-payments
Source: Fastjet Facebook Page
Source: Fastjet Facebook Page
Post a Comment