Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

FASTJET YA RAHISISHA ULIPIAJI WA TIKETI ZAKE ZA NDEGE KWA KUTUMIA M - PESA.

 


Habari Njema: Sasa Unaweza kulipia tiketi yako ya ndege kupitia Vodacom Tanzania M- Pesa.

Mfumo huu wa malipo Kutumia simu ya mkononi unarahisisha kufanya malipo ya tiketi yako kwa urahisi zaidi kuliko awali, Huitaji Akaunti ya benki . Unachotakiwa ni kutumia namba yako ya kumbukumbu uliyopata baada ya kufanya booking kwenye mtandao wetu na uitume kwenye akaunti namba ya fastjet; 900900.

Good news - we've made payments for fastjet flights faster! You can now pay for fastjet flights using Vodacom Tanzania M-Pesa. No need for a bank account or cash. Just use your unique booking number as a reference when booking online and send to fastjet's business number 900900.
Find out more here: www.fastjet.com/tz/blog/introducing-mpesa-mobile-payments

Source: Fastjet Facebook Page
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top