Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KAMPENI YA USAFI MANSIPAA YA ILALA YAZINDULIWA RASMI JIJINI DAR ES SALAAM

1Meya wa mansipaa ya Ilala,Jerry Silaa (wapili kutoka kushoto)na Mkuu wa Wilaya Ilala,Raymond Mushi wa kwanza kulia,pamoja na waheshimiwa wengine washirikiana kwa pamoja kufanya uasafi pembezoni mwa fukwe ya baharia ya Hindi Ocean Road jijini Dar es salaam jana ikiwa ni mwendelezo wa kuhakikisha Halmashauri ya Ilala inaongoza kwa usafi jijini Dar es salaam ambapo kampeni ya usafi imezinduliwa leo rasmi zoezi hilo limeendeshwa na Kampuni ya kisasa ya Green WastePro Ltd ambayo ndio yenye Zabuni ya kufanya usafi katika maeneo mbali mbali ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilala,jana wameanza na fukwe hizo na baadae wataendela na kata ya Mchafu Koge,na kumalizia kata ya Kisutu baadae zitahusishwa manispaa zingine katika mkoa wa Dar es salaam.

2Wafanyakazi wa kampuni hiyo wakiwa kwenye usafi katika fukwe za Gymkana jana
3Watoto wa mitaani nao wakijumuika na Meta wa Ilala Jerry Slaa na Mkuu wa Wilaya Ilala Raymond Mushi pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo katika kampeni hiyo ya usafi.
4Wafanyakazi wa kampuni ya Green WastePro Ltd wakiwa mapumzikoni mara baada ya kumaliza usafi.
5Wafanyakazi wa kampuni hiyo wakikusanya taka ili kuzizoa kwa gari maalum la kubeba taka la kampuni ya Green WastePro Ltd
6Wafanyakazi wa kampuni ya Green WastePro Ltd wakiwa kwenye picha ya pamoja
7Meneja wa kampuni hiyo Bi.Elizabeth Scheepois akifieka majani wakati wa kampeni ya usafi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top