Mwenyekiti wa Chama cha
Kijamii (CCK), Constantine Makitanda akizungumza katika mkutano uliofanyika
katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam na Wajumbe wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba mara baada ya Chama hicho kuwasilisha maoni yao kuhusu
Katiba Mpya leo (Jumanne Januari 8, 2013).
Katibu wa Chama cha
Union for Multiparty Democracy (UMD),Ndg. Juma akizungumza wakati wa mkutano
uliofanyika leo (Jumanne Januari 8, 2013) baina ya Chama hicho na Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, ambapo Chama hicho kiliwasilisha maoni yao kuhusu Katiba
Mpya. Kulia ni Kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba na Katibu
wa Tume,Assaa Rashid.
Baadhi ya Viongozi wa
Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD) wakifuatilia mkutano baina yao na
Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo( Jumanne Januari 8, 2013), ambapo Uongozi wa
Chama hicho uliwasilisha maoni ya Chama hicho kuhusu Katiba
Mpya.
Katibu Mkuu wa Chama cha
Wakulima (AFP), Rashidi Mohamed akiwasilisha maoni yao kuhusu Katiba kwa Wajumbe
wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika katika Viwanja vya
Karimjee Jijini Dar es Salaam leo (Jumanne, Januari 8 2013).
Mjumbe wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, Mhe. Raza Hamad akizungumza katika mkutano na Viongozi wa
Chama cha Wakulima (AFP) uliofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es
Salaam wakati Chama hicho kilipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya leo
(Jumanne Januari 8, 2013).
Mjumbe wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, Dk. Salim Ahmed Salim akizungumza katika mkutano na
Viongozi wa Chama cha Kijamii (CCK) uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee
Jijini Dar es Salaam wakati Chama hicho kilipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba
Mpya leo (jumanne Januari 8, 2013).
Mjumbe Wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, Ndg. Ussi Khamis akizungumza katika mkutano na Viongozi wa
Chama cha Kijamii (CCK) uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es
Salaam wakati Chama hicho kilipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya leo
(jumanne Januari 8, 2013).
Post a Comment