Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Waziri Mkuu akifuatilia bei za Matunda Katavi.


 

Pichani Juu n Chini ni Mh. Waziri mkuu Mizengo Pinda akiwa anaulizia bei ya Nanasi kipindi alipokuwa Mkoani Katavi kwa ajili ya mapumziko ya Krismasi na mwaka mpya kutoka kwa Bw. Aizaki Edward ambaye ni mfanyabiashara anayeuza Mananasi kutoka mkoa wa Kigoma na kuleta Mpanda. Kulia kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa mkoa Katavi Dr Rajabu Rutengwe.(Picha na Chris Mfinanga).
Watoto Gifti Methiu miaka 3 Leah Moses 3 na Gloria Shila 2 wakiwa wanamkaribisha Mh Waziri Mkuu Mizengo Pinda chakula ambacho walikuwa wanajipikilisha kwenye makopo watoto hao walikutwa na Waziri Mkuu katika mtaa wa Mpanda siku ya mwaka mpya.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top