Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MKUU WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI, CGP JOHN MINJA AKUTANA NA WAKUU MBALIMBALI WA JESHI HILO BARANI AFRIKA, NCHINI ZAMBIA.

 

CGP-MINJAMkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali, John Minja (waliokaa wa kwanza kulia) akiwa na wakuu wa jeshi hilo wa nchi mbalimbali barani Afrika (waliokaa) pamoja na maofisa wao (waliosimama) baada ya kufanya mkutano wa Taasisi za Urekebishaji Barani Afrika (ACSA). Wakuu hao wa taasisi hiyo walifanya mkutano wao katika Hoteli ya Sun iliyopo mjini Livingstone, nchini Zambia mwishoni mwa wiki, wakijadili masuala mbalimbali ya kuyaboresha majeshi yao. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top