Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Jumuia ya Afrika Mashariki(EAC)Yawapiga Msasa Waandishi wa Habari Za Kibiashara Kutoka Nchini Wanachama

 


Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (anaeshughilikia Mipango na Miundombinu) Dk Enos Buku akifungua Semina hiyo.
Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (anaeshughilikia Mipango na Miundombinu) Dk Enos Buku (wapili kushoto) akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo ya siku tatu. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Biashara la Jumuia ya Afrika Mashariki, Andrew Luzze Kaggwa na kulia ni Mwandishi Mkongwe wa habari, Salim Salim.
Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Biashara la Jumuia ya Afrika Mashariki, Andrew Luzze Kaggwa, akizungumza wakati wa semina hiyo kwa waandishi wa habari wa Jumuia ya Afrika Mashariki.
Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (anaeshughilikia Mipango na Miundombinu) Dk Enos Buku (kulia) akijadiliana jambo na Mratibu wa Mafunzo EAC-EABC-GIG, Sukhdev Chhatbar, mjini Arusha leo wakati wa siku ya mwanzo ya ya mafunzo ya siku tatu ya mtandao wa Waandishi wa biashara Afrika Mashariki. Waandishi wa habari zaidi ya 30 na maafisa wa Mawasiliano kutoka nchi wanachama wa EAC wanahudhuria kuhudhuria semina hiyo.
Washiriki wakipiga picha ya pamoja na mgemni rasmi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top