Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Taswira Kutoka Bunge la Afrika Mashariki(EALA)Kampala Uganda


Katibu mpya wa Baraza la Mwawaziri la Mambo ya Afrika Mashariki anaeshughulika na mambo ya Biashara na Utalii, kutoka Kenya, Mhe Phyllis C. Kandie akila kiapo jana.
Katibu mpya wa Baraza la Mwawaziri la Mambo ya Afrika Mashariki anaeshughulika na mambo ya Biashara na Utalii, kutoka Kenya, Mhe Phyllis C. Kandie akila kiapo jana mchana kama ofisa maalum katika Bbunge la Afrika Mashariki (EALA) katika Mkutano wa 6 wa Kikao cha 1 cha Baraza 3 ulianzia mjini Kampala, Uganda jana.
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, Shy-Rose Banji akichangia hoja katika Kikao hicho cha Bunge mjini Uganda jana.
Kikao cha Bunge kikiendelea
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top