Msanii
wa muziki wa kizazi kipya na filamu, KITALE, akisalimiana na mashabiki
wake baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu. Msanii huyu mchana alitoka
kali ya mwaka kwenye viwanja vya Leaders, baada ya kuibiwa simu na
kumkamata mwizi wake na kisha kumpakia kwenye gari na kutokomea nae
kusikojulikana.
Loading...
Post a Comment