Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mkurugenzi wa Usalama wa CHADEMA, Wilfred Lwakatare Aachiwa Huru Kwa Dhamana


 Mkurugenzi wa Usalama wa CHADEMA, Wilfred Lwakatare akisalimia baadhi ya wanachama na wapenzi wa chadema(hawapo pichani)muda mfupi baada ya kupewa dhamana na kuachiwa huru mchana huu mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es salaam.Picha na John Mrema-Chadema
--
Mkurugenzi wa Usalama wa CHADEMA, Wilfred Lwakatare ameachiwa kwa dhamana ya Shilingi milioni kumi kwa amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.

Masharti mengine ya dhamana yaliyotimizwa ni pamoja na kuwa na wadhamini wawili wanaotambulika na pia kuikabidhi mahakama pasi yake ya kusafiria.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top