Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AFISA UTUMISHI WA MANISPAA YA ILEMELA AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA RUSHWA YA NGONO..!!


Afisa utumishi wa manispaa ya Ilemela ndugu Songoma leo amefikishwa mahakamani akikabiliwa na kesi ya rushwa ya ngono kwa mwalimu aliyekuwa akiomba kuhamishwa toka Ngudu kuja Mwanza.

Akisomewa shitaka lake mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya Mwanza, ofisa wa TAKUKURU Bi. Debora amedai kuwa Songoma alitenda kosa hilo may tano mwaka jana ambapo maofisa wa TAKUKURU walifanikiwa kumtia mbaroni wakati akijiandaa kupokea rushwa ya ngono ndani ya gesti moja jijini mwanza katika mtego ambao uliandaliwa na mwalimu huyo.


Hata hivyo, Afisa huyo amekana shitaka hilo na kesi yake imeahirishwa hadi septemba 13 mwaka huu.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top