Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA MADOLA

 


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika kikao cha ufunguzi cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Madola jijini Colombo Srilanka leo asubuhi.kushoto ni Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza William Hague. Picha na Freddy Maro
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete(Watatu kushoto mbele) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wa nchi Jumuiya ya Madola wakiongozwa na mwana wa malkia wa Uingereza Prince Charles of Wales aliyekaa kwenye viti wapili kutoka kulia.Wapili kushoto aliyeketi ni mwenyeji wa mkutano huo Rais wa Srilanka Mahinda Rajapaksa wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika jijini Colombo,Srilanka leo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top