Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Rais Dkt. Jakaya Kikwete ahudhuria Mkutano wa EAC

 


D92A8213Kenyatta reduce size
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya wakati wa nmkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Africa Mashariki unaofanyika jijini Kampala Uganda leo.
Munyonyo Reduce size
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi,Rais Yoweri Museveni wa Uganda,Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Rais Paul Kagame wa Rwanda wakiwa katika mkutano katika hoteli ya Munyonyo jijini Kampala wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki leo(picha na Freddy Maro)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana