Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BARABARA YA DODOMA-MOROGORO HAIPITIKI KUTOKA NA DARAJA LA MAGOLE BAADA YA UDOGO WAKE KUBOMOKA NA KUSOMBWA KIPANDE CHA MITA 30 KUHARIBIKA MKOANI MOROGORO.

Maji ya mafuriko yakipita kwa kasi kando ya daraja la mto Magole wilaya ya Kilosa na kufanya matumizi ya barabara ya Dodoma-Morogoro kushindwa kutumika kutokana na mafuriko kuharibu miundombinu ya barabara yaliyotokana na mvua kubwa kunyesha maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo mkoani Morogoro na kusababisha mabasi ya abiria na malori kushindwa kusafiri na kulazimika kuzunguka barabara ya Melela, Kimamba kisha Dumila kuendelea na safari ya Dodoma leo huku magari mengine yakiwa yamekwama. PICHA/MTANDA BLOG.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top