Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA AZINDUA BODI MPYA YA SHULE YA BWAWANI SEKONDARI LEO MKOANI PWANI

photo

image
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, John Casmir Minja akitoa hotuba fupi kwa Wajumbe wa Bodi Mpya ya Shule ya Sekondari Bwawani( hawapo pichani) kabla ya kuzindua rasmi Bodi hiyo leo Januari 07, 2014 Mkoani Pwani. image_1
Mkuu wa Shule ya Sekondari Bwawani, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Hamza Rajabu(kushoto) akisoma risala fupi kabla ya kumkaribisha  Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja kuzindua rasmi Bodi Mpya ya Shule ya Sekondari Bwawani leo Januari 07, 2014 Mkoani Pwani.
image_2
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja akimkabidhi Vitendea kazi  vya  Bodi Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Bwawani ambaye pia ni Kamishna wa Fedha na Utawala, Gaston Sanga mara baada ya kuzindua rasmi Bodi hiyo ya Shule leo Januari 07, 2014 Mkoani Pwani.
photo
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi Mpya ya Shule ya Sekondari Bwawani mara baada ya kuzindua rasmi Bodi hiyo leo Januari 07, 2014 katika Ukumbi wa Shule hiyo. Bwawani Sekondari ipo Mkoa wa Pwani. Shule hiyo ilianzishwa rasmi Mwaka 1978 na ni Shule ya Bweni ikiwa na Mchepuo wa Biashara na inamilikiwa na Jeshi la Magereza Tanzania Bara(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana
Back To Top