Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MATUKIO KUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR.

 


DSC_0627Mwakilishi wa jimbo la Kitope Makame Mshimba Mbarouk akichangia Mswada wa Sheria ya kuanzisha sheria za Hakimiliki za wagunduzi wa aina Mpya za Mbegu za Mimea katika Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
DSC_0628Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jussa Ladhu akichangia Mswada wa Sheria ya kuanzisha sheria za Hakimiliki za wagunduzi wa aina Mpya za Mbegu za Mimea katika Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar. DSC_0634Mwandishi wa Habari wa Gaazeti la Zanzibar Leo Mwantanga Ame akifanya  kazi yake ya Uandishi kwa Utulivu katika Ukumbi wa Juu Baraza la Wawakilishi lililoanza Leo huko Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
 PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top