Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MR OMARY MJENGA AMKARIBISHA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MH. NYALANDU OFISINI KWAKE DUBAI NA VILE VILE AMKUTANISHA NA MWENYEKITI WA DAMAC BW. HUSSSIN SAJWANI


Mr Omary Mjenga akipata picha ya kumbukumbu na Mh. Lazaro Nyalandu ambaye ni Waziri mpya wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania wakati waziri huyo alipomtembelea bwana Mjenga ofisini kwake Dubai.
Mh. Nyalandu akisisitiza jambo kwa Ndugu Mjenga jinsi ya kuweza kuendeleza sekta ya utalii nchini mwetu wakati alipomtembelea ofisini kwake Dubai

Picha juu na chini ni Waziri wa Utalii na Maliasili Mh. Lazaro Nyalandu akiongea na Mwakilishi wa Tanzania Dubai Mr Omary Mjenga kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu kudumisha na kuendeleza utalii nchini mwetu.
Mr. Sajwani (Kushoto) akiongea na Mh. Nyalandu
Picha juu na chini Mh. Nyalandu akiwa na mwenyeji wake Mr. Mjenga (Kulia) wakiongea na Mmoja wa wafanya biashara maarufu katika sekta ya ujenzi wa mahotel na majumba mbali mbali ya biashara Dubai Mr. Husssin Sajwani. Katika maongezi yao Mh. Nyalandu alimkaribisha Mr. Sajwani kuja kuwekeza nchini Tanzania katika sekta mbali mbali hasa katika Mahoteli na Utalii. Mh. Nyalandu ameondoka leo Dubai baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top