Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TANGAZO TOKA IDARA YA HABARI

 


220px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg


Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, inawaalika Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini kote nchini kushiriki katika kikao kazi kitakachofanyika katika Hotel ya Tanga Beach Resort kuanzia Februari 3 hadi 8, 2014 Mkoani Tanga.
Washiriki wote wanakumbushwa kulipa ada ya ushiriki kabla ya tarehe 30 Januari, 2014.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Matumizi ya Tehama na Mitandao ya Kijamii katika kuimarisha Mawasiliano ya Serikali kwa Umma”
“WOTE MNAKARIBISHWA”
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top