Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

PICHA ZAIDI ZA HALI ILIVYOKUWA KWENYE AJALI YA BASI LA YANGA

Hatari; Kocha Mkuu wa Yanga SC, Mholanzi Hans van der Pluijm akiruka dirishani kutoka kwenye basi la timu hiyo baada ya kunusurika kupinduka asubuhi ya leo eneo la Mikese, Morogoro wakati wakijaribu kukwepa basi la abiria. Yanga SC ilikuwa inatokea Morogoro ambako jana ilicheza mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar na kutoka sare ya bila kufungana.
Basi la Yanga likiwa limeinama upande mmoja baada ya kukwepa basi la abiria. Hakuna aliyeumia na timu imeendelea na safari ya kurejea Dar es Salaam baada ya mkasa huo

 
Tumepata ajali mzee; Kocha Pluijm kulia akiozungumza na simu na kushoto kwake ni kocha wa makipa, Juma Pondamali
 

Wachezaji wakitokea madirishani kuokoa maisha yao baada ya kunusurika ajali mbaya asubuhi ya leo Mikese

PICHA ZOTE KWA HISANI YA BLOG YA BIN ZUBEIRY
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top