Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Rais Kikwete awaapisha Katibu na Naibu Katibu wa Bunge maalum la Katiba

 


D92A4470 D92A4440
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha Katibu na naibu katibu wa Bunge Maalum la katiba katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya ikulu ndogo mjini Dodoma leo. Waliokula kiapo mbele ya Rais ni Katibu Bwana Yahya Khamis Hamad na naibu wake Dkt. Thomas Kashililah. Pichani Katibu Wa Bunge Maalum la Katiba Bwana Yahya Khamis Hamad(44440) na naibu wake Dkt.Thomas Kashililah (4070)wakila kiapo mbela ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Wapili kushoto akishuhudia kiapo ni Katibu Mkuu Balozi Ombeni Sefue na watatu kushoto ni karani wa Baraza la Mawaziri Bwana Gerson Mdemu (picha na Freddy Maro).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top