Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Semina za wajumbe wanawake wa Bunge la Katiba zafanyika mjini Dodoma

 


annaMwenyekiti wa Wabunge wanawake Anna Abdallah (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa Wabunge wanawake Dkt. Mary Mwanjelwa (kushoto)  wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wanawake wa Bunge la Katiba ili kujenga muafaka wa agenda muhimu kwa maswala ya kijinsia.(Picha na Tiganya Vincent-Dodoma)
suzanly
Makamu Mwenyekiti wa Wabunge wanawake Suzan Lyimo akitoa mada leo mjini Dodoma  kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kuhusu uwakilishi wa wanawake katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na umuhimu wa kuwa kitu kimoja katika kujadilia masuala ya wanawake katika Bunge Maalum la Katiba.

usssuMkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Kijinsia Tanzania(TGNP) Usu Mallya akitoa mada leo mjini Dodoma  kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kuhusu uzingatiaji masuala ya haki za wanawake , utu na hali ya maisha na mgawanyiko wa raslimali wakati wa uandishi wa  Katiba mpya. victori
Mtoa mada kutoka TAWLA  Victoria Mandari  akitoa mada leo mjini Dodoma  kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kuhusu umuhimu wa kuzingatia masuala ya mirathi na ndoa katika uandishi wa  Katiba mpya. wajumbe
Baadhi ya wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa semina ya kuwajengea uwezo ili wasaidie kutetea kuingizwa kwa vifungu mbalimbali katika Katiba inayotarajiwa kuandika vinavyopinga unyanyasaji wa kijinisia.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top