Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mstahiki Meya Jerry Silaa AKABIDHI MADAWATI YA SH. MILIONI 45 SHULE ZA SEKONDARI DAR

 

       004 (3)
001 (3) 
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akitoa hotuba yake wakati wa kukabidhi madawati 107 katika Shule ya Sekondari Pugu kupitia mpango alioluanzisha wa `Mayors Ball` ya kusaidia sekta ya elimu. Katikati ni  Diwani wa Kata ya Pugu, Imelda Samjela, na kulia kwake ni Diwani wa Kata ya Upanga Magharibi, Jokha Lemki.
Katika hafla hiyo iliyofanyika shuleni hapo leo jijini Dar es salaam jana,  madawati 300 yenye thamani ya  sh. Milioni 45 yaligawiwa katika   shule za Pugu, Ulongoni, Jangwani. 
002 (3) 
Viongozi mbalimbali  waliohudhuria hafla hiyo 
003 (3) Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Pugu wakishuhudia makabidhiano ya msaada huo ambao kwa kiasi kikubwa utasaidia kutatua kero ya samani  katika shule yao004 (3)  
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akipeana mkono na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Pugu, baada ya kuwakabidhi madawati 107
 005 (2)
 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Manispaa ya Ilala pamoja na Madiwani mara baada ya kukabidhi madawati hayo.006 (2)
Diwani wa Kata ya Pugu, Imelda Samjela akielezea changamoto mbalimbali zinazoikabili Shule hiyo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Huduma za Jamii Manispaa ya Ilala Angelina Malembeka,  Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Pugu,  Jovinus Mutabuzi na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa.  
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE DAR ES SALAAM
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top