![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8GBWiUShKAEsZNPAcAG5kotGvrp-LEFK6BJ1yqNrqFSuIZDt54uMttBMFIW-K1epAMouYFKSEmycIS3GwMLuxqqu0irycgiNz_dX7EkaRgbeYjcT2HL3wnJCOttGjIRo2i_HAQv_LqxU/s640/viatu+vya+dimpoz.jpg)
Kwenye mtandao wa twitter, mtangazaji wa Clouds FM Hamisi Mandi au wengi
tukimfahamu kama B12 "B-Dozen" amemuuliza swali la kizushi Ommy dimpoz
kuhusu viatu vyake alivyo vaa..
nahiki ndicho alichoandika... B12 nakuweka picha ya viatu hivyo..
"Hivi ndo Viatu Vya dimpoz, si kwa ubaya tunaomba ufafanuzi ni Vya kike au kiume?"
Post a Comment