|
Kama
ulikuwa Hewani siku ya jana katika kipindi maarufu kabisa (XXL), ndani
ya Stetion maarufu hapa Tz yaana nazungumzia CLOUDS Fm utaelewa nini
ninachozungumzia mpaka sasa. Katika hali isiyotegemewa jana watangazaji
watatu maarufu kama, DJ FETTY, ADAM MCHOVU na B12 waliziweka ndani ya
studio za Clouds live huku wakisahau kuwa Wasikilizaji wanawasikia
mwanzo mwisho wanachokifanya huko ndani ya studio. Sakata hilo
limesababisha na kutoelewana baina ya hawa watangazaji juu ya mauzo ya
Albam ya Fiesta! kama hukupata Fursa ya Kusikiliza
|
on Thursday, July 3, 2014
Post a Comment