Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Odama na sakata la Mtoto Wake Mitandaoni


Habari mpya ni kuwa muigizaji maarufu nchini Odama Jennifer Kyaka hapendi kumuanika hovyo mtoto wake mitandaoni kama baadhi ya mastaa wenzake. Haijajulikana sababu ingawa hata Odama mwenyewe waandishi wengi wamekwama kuandika habari za maisha yake binafsi tofauti na baadhi ya wasanii wenzake ambao kila kitu hukizungumza kwenye media.

Kwa upande mwingine filamu mpya ya star huyo inayoitwa Inside itatoka tarehe 10 mwezi huu wa July. Odama ameandaa filamu hiyo kupitia kampuni yake ya J-Film 4 Life huku akishirikiana na Davina Halima Yahaya, Dullah wa Planet Bongo, Ben Branco, Masinde, King Majuto na marehemu Rachel Haule katika movie hiyo. usikose kununua nakala yako halisi
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top