Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Dk. Cheni Aipasukia Serikali Ijayo


Muigizaji nguli nchini, Mahsein Awadh Said ‘Dk Cheni’.
Boniphace Ngumije
MUIGIZAJI
nguli nchini,Mahsein Awadh Said ‘Dk Cheni’ hivi karibuni ametoa ya moyoni kwa kusema kuwa serikali

ijayo iache mambo ya blabla bali itimize ahadi ambazo imekuwa ikitoa kwa wasanii ikiwa ni pamoja na kulinda haki
na masilahi yao.

Akizungumzia jinsi alivyouona uchaguzi, Dk Cheni alisema ameridhika na matokeo lakini akatoa rai kwa wale waliochaguliwa kuwaangaili wasanii kwa jicho la pili ili nao waweze kunufaika kwa kazi zao.
“Wakati wa blaablaa umepita, waliyoahidi kuhusu wasanii wayafanyie kazi, tunataka kunufaika na kile tunachokifanya, naamini serikali itaundwa na watu makini na kero zetu zitashughulikiwa ipasavyo,” alisema Dk. Cheni.

GPL
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top