Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Hizi ni sentensi 5 za Diamond Platnumz baada ya ushindi wa tuzo ya MTV EMA 2015.

Msanii wa Bongo Flava kutoka Tanzania, Diamond Platnumz bado anaendelea kuziandika headlines kwenye kurasa za burudani nchini na Africa kwa ujumla.
Baada ya kuipeperusha bendera ya Tanzania kwenye usiku wa tuzo za MTV EMA 2015 msanii huyo wa muziki wa Bongo Fleva amekuwa akipokea pongezi mbalimbali kutoka kwa mashabiki wake kwenye Instagram na pia kituo kikubwa cha burudani Africa, MTVBase Africa kilichukuwa time na kumpongeza msanii huyo kutoka Tanzania

dpltz
Kuonyesha furaha yake kwa Watanzania na kwa mashabiki wake wengi, Diamond Platnumz kapost ujumbe wa shukrani kwenye page yake ya Instagram na pia kuwapa mashabiki wake taarifa kuwa baada ya pirikapirika za Uchaguzi Mkuu ataanda siku maalum kwa ajili ya mashabiki wake kuweza kupiga picha na tuzo hiyo…
mtv EMA2
>>>Hii sio tunzo yangu ni tunzo ya wewe na mimi maana bila kura yako nisingeweza kabisa kushinda… naomba niwashkuru sana sana kwa kura zenu Mashabiki zangu pendwa… wasanii wenzangu, Media, Uongozi pamoja na familia… bahati mbaya Kutokana na harakati za uchaguzi hatuta weza kuwa na mapokezi ila ukipita tutaandaa siku maalum kwa wote tuweze piga picha nayo… #BestAfricanAct #BestWorldwideAct #Mtvema<<< @diamondplatnumz.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top