Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ZEC yatangaza Matokeo ya Kura za Uchaguzi Mkuu 2015 Kwa Majimbo Mawili Upande wa Zanzibar Pekee


LEO  Majira  ya  saa  nane  usiku,Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Salim Jecha, ametangaza matokeo ya uchaguzi wa urais wa Zanzibar kwa majimbo mawili ya Kiembesamaki na Fuoni, ambapo kwenye majimbo yote mawili mgombea wa CCM, Dk. Ali Mohammed Shein, anaongoza.   Zanzibar  ilikuwa  na  majimbo 54


Baki nasi. Tutakujuza kila kitu kitakachokuwa  kikitokea.....Kwa  upande  wa  Tanzania  Bara,Matokeo  ya  awali  yataanza  kutangazwa  saa  4  asubuhi
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top