Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Familia mbili zagombania kaburi la kumzika Marehemu

Mvutano mkubwa umezuka katika kata ya Moshono mkoani Arusha baada ya familia mbili kugombania ardhi na kushindikana kuzikwaa kwa mwili wa marehemu Peter Kivuyo katika shamba lake iliyo lazimu mwili kukaa chumba cha kuhifadhi maiti katika hospitali ya Mountmeru kwa siku saba ugomvi ukiendelea kwa madai kuwa eneo Hilo alishaliuza hali iliyo walazimu vijana kutoka kabila la Masai kutumia nguvu kuchimba kaburi na kuzika mwili wa marehemu huku wakiweka ulinzi mkali wakiwa na silaha za jadi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top