STAA wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’
anatarajia kuachia ngoma zake tatu kwa mpigo alizowashirikisha mastaa
wakubwa ndani na nje ya nchi mwezi.
Tunda aliitonya Global Showbiz kuwa ngoma hizo ni Jiachie aliyomshirikisha Diamond Platnumz, Debe Tupu aliyomshirikisha msanii mkubwa nchini Nigeria (Jina linahifadhiwa) pamoja na Mama Kijacho aliyoimba mwenyewe.
“Nashukuru menejimenti yangu (Said Fella na Babu Tale) naendelea nayo vizuri ambapo mashabiki wangu wakae mkao wa kunisikia nikiwa kimataifa zaidi mwezi huu,” alisema Tunda Man.
Tunda aliitonya Global Showbiz kuwa ngoma hizo ni Jiachie aliyomshirikisha Diamond Platnumz, Debe Tupu aliyomshirikisha msanii mkubwa nchini Nigeria (Jina linahifadhiwa) pamoja na Mama Kijacho aliyoimba mwenyewe.
“Nashukuru menejimenti yangu (Said Fella na Babu Tale) naendelea nayo vizuri ambapo mashabiki wangu wakae mkao wa kunisikia nikiwa kimataifa zaidi mwezi huu,” alisema Tunda Man.
Post a Comment